Chakula kichafu chauguza mtu 1 kati ya 10 duniani- FAO/WHO
Hebu fikiria kila mwaka mtu 1 kati ya 10 huugua baada ya kula chakula kisicho salama! Hizo ni takwimmu zilizotolewa siku ya leo ambayo ni maadhimisho ya 4 ya siku ya kimataifa ya usalama wa chakula duniani.