Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Mvulana akitembelea karibu na majumba yaliyosambaratishwa jirani na nyumbani yao huko Novoselivka, viunga vya mji wa Chernihiv nchini Ukraine
© UNICEF/Ashley Gilbertson

Mambo 5 ya kufahamu kuhusu kulinda raia dhidi ya silaha za mlipuko vitani

Kwa wastani, asilimia 90 ya wanaouawa na kujeruhiwa kwa silaha za milipuko zinazotumiwa katika maeneo yenye wakazi wengi ni raia.  Ahadi ya kisiasa ya kukabiliana na madhara ya kibinadamu yanayoongezeka kutokana na matumizi ya silaha hizo katika miji mikubwa, miji midogo na vijijini inaweza kuwa hatua kubwa kuelekea kuwalinda wale walioko kwenye maeneo ya migogoro na vita. 

 Uunganisho wa kidijitali, katika maeneo kama India, ni muhimu sana kuondokana na janga hili, na kwa urejeshaji endelevu na unaojumuisha.
United Nations/Chetan Soni

 Mkutano wa dunia wa mawasiliano waanza nchini Rwanda 

Mkutano wa kimataifa wa maendeleo ya mawasiliano umeanza leo mjini Kigali nchini Rwanda ukiwa na lengo la kupitisha mwongozo wa kimataifa wa mabadiliko ya kidigitali ili hatimaye kusaidia kuweka ufikiaji wa maana wa teknolojia za kidijitali mikononi mwa mabilioni ya watu duniani kote na kuhakikisha wananchi wasiounganishwa na mtandao wanaunganisha ili kufikia malengo ya maendeleo endelevu SDGs.

Sauti
1'27"
Samaki wakiogelea katika Bahari ya Sham
© Ocean Image Bank/Brook Peters

Bahari ni uhai, sio kwangu mimi tu bali kwa Wakenya wote: Bernadatte Loloju 

Katika kuelekea siku ya bahari duniani ambayo kila mwaka huadhimishwa Juni 8 tutakuletea sauti za watu mbalimbali wakizungumzia kwa nini bahari ni muhimu kwao. Maudhui ya mwaka huu ya siku ya bahari ni “kuhuisha hatua ya pamoja kwa ajili ya bahari” ikichagiza serikali, mashirika, asasi za kiraia na wadau wote kuchukua hatua ili kuilinda bahari na rasilimali zake kwa faida ya kizazi cha sasa na vijavyo .

Sauti
1'30"