Vita nchini Syria imesababisha vifo vya asilimia 1.5 ya wananchi wa taifa hilo
Ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa imeeleza raia zaidi ya laki tatu na elfu sitini waliuawa kati ya tarehe 1 mpaka 31 ya mwezi Machi mwaka 2022 nchini Syria kutokana na vita inayoendelea nchini humo ikiwa ni idadi kubwa ya vifo kurekodiwa nchini Syria.