Vijana tunachagiza mabadiliko ya kisera ili kulinda bahari - Nancy Iraba

Nancy Iraba, mwanasayansi wa masuala ya bahari kutoka Chuo Kikuu cha Dar es salaam nchini Tanzania akizungumza na Idhaa ya Umoja wa Mataifa huko Lisbon Ureno kando ya mkutano wa kimataifa kuhusu Bahari.