Watoto wangu hawatemewi tena mate, nashukuru UN- Mama Kasereka
“Nilianza kufanya shughuli za kujiuza mwili nikiwa na umri mdogo”, kwa masikitiko makubwa anaanza kueleza ambaye alipoteza wazazi akiwa mdogo na kukulia katika mazingira ya vita nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, DRC.