COVID-19 imezidisha pengo la ujira kati ya wanawake na wanaume
Hii ni leo ni siku ya kimataifa ya usawa katika ujira ambapo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema janga la ugonjwa wa Corona au COVID-19 limezidi kupanua pengo la ujira lililokuwepo hata kabla ya ugonjwa huo.