Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Mwanamke akitembea kwenye kijiji cha Kageyo kilichoko mashariki mwa mji mkuu wa Rwanda, Kigali.
WFP/Riccardo Gangale

Ni kwa vipi Rwanda imeweza kudhibiti COVID-19? 

Uratibu wa kina wa serikali ya Rwanda ukiongozwa na ofisi ya Rais Paul Kagame na uzingatiaji wa mwongozo wa shirika la afya la Umoja wa Mataifa, (WHO) ndio msingi wa udhibiti wa mlipuko wa ugonjwa wa virusi vya Corona, (COVID-19) nchini Rwanda.