Ufadhili endelevu unahitajika kutopoteza mafanikio yaliyofikiwa katika vita dhidi ya VVU-Msichana Moraa
"Nimeishi na Virusi Vya Ukimwi tangu mwaka 1992 nilipozaliwa na nimeishi na virusi hivyo maisha yangu yote." Hiyo ni kauli ya Doreen Moraa Moracha, msichana kutoka Kenya ambaye anaishi na VVU kwa miaka 28 sasa.