#Kwibuka25 : Rwanda ilikuwa ni funzo lakini funzo hilo liwe na mchango- Manusura wa mauaji ya kimbari dhidi ya watutsi
Kumbukizi ya miaka 25 tangu ya mauaji ya kimbari dhidi ya wa Tutsi nchini Rwanda yamefanyika hapa kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York Marekani hii leo Ijumaa yakihudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Katibu Mkuu Antonio Guterres na Rais Paul Kagame wa Rwanda.