Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Bila ushiriki wa wanawake hatutakuwa na Tanzania ya viwanda:waziri Mwalimu

Waziri wa afya maendeleo ya jamii wazee na watoto wa nchi hiyo Ummy Mwalimu akizungumza na Flora Nducha wa UN News kandoni mwa mkutano wa kamisheni ya hali ya wanawake duniani kikao cha 63
UN News Kiswahili/ Grece Kaneiya
Waziri wa afya maendeleo ya jamii wazee na watoto wa nchi hiyo Ummy Mwalimu akizungumza na Flora Nducha wa UN News kandoni mwa mkutano wa kamisheni ya hali ya wanawake duniani kikao cha 63

Bila ushiriki wa wanawake hatutakuwa na Tanzania ya viwanda:waziri Mwalimu

Wanawake

Serikali ya Tanzania imesema bila ushiriki kamilifu wa wanawake haitoweza kutimiza azma ya kuwa na maendeleo ya viwanda itakayoleta tija kwa wote.

Kauli hiyo imetolewa na waziri wa afya maendeleo ya jamii wazee na watoto wa nchi hiyo Ummy Mwalimu akizungumza na Flora Nducha wa UN News kandoni mwa mkutano wa kamisheni ya hali ya wanawake duniani kikao cha 63 kinachoendelea kwenye mako makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York Marekani na kuongeza kuwa na huo ndio ujumbe wao pia kwenye mkutano huu

(MAHOJIANO NA UMMIE MWALIM)