Makazi mbadala kwa warohingya yakamilika- UN
Mashirika ya misaada ya kibinadamu yanayotoa huduma kwenye kambi za wakimbizi wa Rohingya nchini Bangladesh , leo yamekamilisha maandalizi ya eneo la kwanza jipya kwa ajili ya kuhamishia familia za wakimbizi walio katika hatari ya maporomoko yatakayosababishwa na pepo za monsuni.