Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

UN sasa kuwa na mashiko mashinani- Guterres

Baada ya mashauriano ya muda mrefu, hatimaye Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limeridhia mapendekezo ya marekebisho ya mfumo wa maendeleo wa chombo hicho chenye wanachama 193. Marekebisho hayo yanalenga kusogeza zaidi UN kwa wananchi wa kawaida ili hatimaye maendeleo yawe dhahiri ya watu na si vitu.

Sauti
4'3"
Mkunga Helen Danies anazungumza na mama mgeni katika wodi ya kinamama hospitalini Juba, Sudan Kusini Jumatatu Januari 2018
UNICEF/UN0159224/Naftalin

Wakunga ni chachu ya huduma bora kwa mama na mtoto: WHO

Kila sauti hiyo isikikapo wakati mama anajifungua huwa ni muziki masikioni mwake, lakini mamilioni ya watoto na kina mama duniani hupoteza maisha kila mwaka sababu ya kukosa dumuma bora wakati wa ujauzito, kipindi cha kujifungua na hata baada ya kujifungua, kwa mujibu wa shirika la afya duniani WHO.

Sauti
2'24"