Watu 25 wameuawa Nicaragua wakati wa maandamano: UN
Ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa imesema imepokea taarifa za kuaminika kwamba takriban watu 25 wameuawa nchini Nicaragua wakati wa maandamno ya nchi nzima dhidi ya mipango ya kufanyia mabadiliko mfumo wa hifadhi ya jamii.