Mradi wa WFP kwa wakulima Zambia ni neema kwangu na familia yangu: Mkulima Mainner
Mkulima Mainner mwenye umri wa miaka 44 , mama wa watoto wanne na miongoni mwa wakulima wadogo wadogo 150,000 wanaosaidiwa na shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP kupitia mradi wa kuboresha maisha ya wakulima na kuwajengea mneno, mradi ambao kwake na familia yake umekuwa neema kubwa.