Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Mhudumu wa afya aktioa chanjo ya polio kwa mtoto Kaloko, Ndola, Zambia.
© UNICEF/Karin Schermbrucke

Nchi tatu za Afrika zazuia milipuko ya ugonjwa wa polio-WHO

Kenya, Musumbiji na Niger wamezuia milipuko ya ugonjwa wa polio ambayo ilishuhudiwa nyakati tofauti katika kipindi cha miezi 24 iliyopita na kuchangia nchi hizo kutangazwa kuwa zisizokuwa na ugonjwa wa polio kwa mujibu la tangazo la shirika la afya duniani WHO lililotolewa leo.

Sauti
2'