Machungu ya raia ndio kichocheo changu cha kupaza sauti- Zeid
Kamishna Mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa Zeid Ra’ad Al Hussein amesema machungu wanayopitia wahanga wa ukiukwaji wa haki za binadamu ni shinikizo kubwa kwake yeye kuzungumza bila woga.