Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Somalia

Mpishi Ron Pickarski akikatakata mboga jikoni kwake Boulder Colorado
©FAO/Benjamin Rasmussen

COVID-19 ikitikisa, mlo uwe vipi?

Wakati wazazi wengi wanatafuta milo iliyokwishapikwa tayari na vyakula vya kusindikwa kama njia ya haraka na ya bei nafuu ya kulisha familia, kuna njia mbadala rahisi, za bei nafuu na zenye afya  hasa wakati huu wa ugonjwa wa virusi vya Corona, au COVID-19

Wanawake wakiteka maji katika mradi wa maji uliofadhiliwa na shirika la uhamiaji la Umoja wa Mataifa, IOM katika kambi ya wakimbizi wa ndani ya Dolow nchini Somalia. IOM, WFP na mashirika mengine waliweze kusaidia mahitaij ya wakimbizi hao kutokana na mfu
WFP/Georgina Goodwin

Heko wanawake wa Somalia kwa mchango wenu :UNSOM

Katika kuadhimisha siku ya wanawake duniani hapo Machi 8 mpango wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia UNSOM umewapongeza wanawake wa nchi hiyo kwa jukumu lao katika mchakato wa maendeleo ya nchi hiyo huku ukichagiza juhudi kubwa za kuhakikisha ushiriki wao katika nyanja zote za jamii ya Wasomali.