Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Somalia

Wahudumu wa afya katika kiliniki inayosaidiwa na UN karibu na kambi ya wakimbizi wa ndani ya Ceel Jaale katika eneo la Belet Weyne wakimuhudumia mama na bintiye mdogo.
UNSOM

Heko Somalia kwa upimaji wa COVID-19:UN 

Mwakilishi maalum wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia James Swan ameipongeza serikali ya Somalia kwa juhudi kubwa inazozifanya katika upimaji wa virusi vya corona au COVID-19 baada ya leo kuzuru maabara ya taifa ya afya ya umma (NPHRL) mjini Moghadishu.

Sauti
1'59"