Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Somalia

Amina Mahdi Abid, (wa pili kushoto) akijifunza jinsi ya kuunganisha na kufunga mitambo ya sola kwenye kituo kinachopatiwa msaada na UNICEF huko  Dollow, nchini Somalia.
© UNICEF/Mark Naftalin

Wasichana Somalia wajivunia kufunga mitambo ya sola

Nchini Somalia, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF, linatekeleza mradi wa kuwezesha wasichana kupata stadi ambazo awali zilionekana kuwa ni za wanaume peke yao, hatua ambayo inalenga si tu kuongeza uwezo wa wasichana hao kupata kipato bali pia kutokomeza umaskini katika jamii zao. 

Sauti
1'48"