Ebola DRC: Chanjo yaanza kutolewa, WHO yahaha kuhakikisha usalama wa watoa huduma
Baada ya kubaini aina ya virusi vya Ebola huko jimbo la Kivu Kaskazini, na kupata ridhaa ya kutoa chanjo ya mzunguko, shirika la afya ulimwenguni, WHO linaanza kutoa chanjo hiyo leo jimboni humo.