Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Makala Maalum

Wanawake na wasichana nchini Tanzania ambao wako katika tishio la ukatili na ndoa za utotoni sasa wanaweza kupata msaada wanaouhitaji
FAO Tanzania

UNFPA inamuunga mkono Rais wa kwanza mwanamke Tanzania kusongesha usawa wa kijinsia 

 Ndoa za utotoni zimeendelea kuwaathiri wasichana wengi nchini Tanzania katika eneo la Afrika Mashariki, lakini kwa sasa juhudi mbalimbali zinazoungwa mkono na shirika la Umoja wa Mataifa la idadi ya watu duniani UNFPA zinatoa fursa kwa watoto na wbarubaru kupata msaada unaohitajika ili kuepuka mahusiano wasiyoyataka na yenye athari mbaya katika maisha yao. 

Programu ya utoaji chanjo kubwa kabisa duniani ilipoanza India Januari 2021.
© UNICEF/Ruhani Kaur

Hofu yaendelea wakati tsunami ya COVID-19 ikighubika India

Mfanyikazi wa Umoja wa Mataifa nchini India ameelezea kuongezeka kwa kiasi kikubwa kwa maambukizi ya virusi vya corona au COVID-19 ambako ni nchini mwaka katika siku za hivi karibuni kama ni "tsunami", na amezungumzia "hofu" aliyohisi, wakati familia yake ya karibu ilipoambukizwa virusi hivyo.