Niko hai, lakini nahisi nimekufa:Mhamiaji aliyenusurika kifo na Kapoteza watoto 3 baharini
"Nimepoteza kila kitu," anasema Misrah, mwanamke mhamiaji akijitahidi kusimulia tukio la kutisha mno la kushuhudia vifo vya watoto wake watatu baharini
"Nimepoteza kila kitu," anasema Misrah, mwanamke mhamiaji akijitahidi kusimulia tukio la kutisha mno la kushuhudia vifo vya watoto wake watatu baharini
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limefanya mkutano wa wazi kuhusu hali nchini Somalia.
Takriban wakimbizi 300,000 kutoka Mashariki na Pembe ya Afrika, wamepata maambukizi ya virusi vya Corona au COVID-19 kwa mwaka 2020. Idadi hiyo imetajwa kwenye ripoti kuu ya mwaka 2020 ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji, IOM, kwa bara la Afrika iliyotolewa wiki hii.
Fistula ya uzazi ni moja ya matatizo ambayo yametoweka kabisa katika nchi tajiri lakini wakati huo huo, katika nchi zinazoendelea, wanawake kwa maelfu wanaishi na ugonjwa huu.
Ndoa za utotoni zimeendelea kuwaathiri wasichana wengi nchini Tanzania katika eneo la Afrika Mashariki, lakini kwa sasa juhudi mbalimbali zinazoungwa mkono na shirika la Umoja wa Mataifa la idadi ya watu duniani UNFPA zinatoa fursa kwa watoto na wbarubaru kupata msaada unaohitajika ili kuepuka mahusiano wasiyoyataka na yenye athari mbaya katika maisha yao.
Ukosefu wa usawa wa kijinsia huongezeka katika hali za mizozo. Wanawake wameathirika kwa kiasi kikubwa katika suala la usalama wa kibinafsi, upatikanaji wa ajira, rasilimali na huduma za msingi katika mazingira dhaifu, yenye migogoro.
Julian Omalla ambaye alitinga fainali za kinyang’anyiro cha tuzo ya wanawake wajasiriamali ilyoandaliwa na kamati ya Umoja wa Mataifa ya biashara na maendeleo, UNCTAD amekabidhiwa na serikali ya nchi yake Uganda mkopo nafuu wa dola milioni 10 ili ajenge kiwanda endelevu cha kutengeneza juisi.
Mfanyikazi wa Umoja wa Mataifa nchini India ameelezea kuongezeka kwa kiasi kikubwa kwa maambukizi ya virusi vya corona au COVID-19 ambako ni nchini mwaka katika siku za hivi karibuni kama ni "tsunami", na amezungumzia "hofu" aliyohisi, wakati familia yake ya karibu ilipoambukizwa virusi hivyo.
Jimbo la White ni nyumbani mwa idadi kubwa ya wakimbizi kutoka Sudan Kusini. Katika nusu ya kwanza ya mwaka wa 2019 Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Mataifa WFP liliwasaidia wakimbiizi 387,000 kote nchini Sudan huku sehemu kubwa ya mchango wa chakula ukitoka shirike la Marekania la USAID. Nusu ya wakimbizi hao ni wanawake.
“Wakati nzige wa jangwani walipovamia eneo letu kwa ghafla, tulikerwa sana,” anaeleza Galmo Kiyo Waariyo, mkulima anayeishi katika kijiji cha Lafto nchini Ethiopia. “makundi ya nzige yalikuwa makubwa kiasi kwamba yalikuwa yakifunika anga na kuleta giza polepole na muda si muda wananza kutembea kila sehemu.”