Skip to main content
Karibu Umoja wa Mataifa
Lugha
  • العربية
  • 中文
  • English
  • Français
  • Русский
  • Español
  • Português
  • Kiswahili
  • Nyingine
    • Hindi हिंदी
    • duniani
Umoja wa Mataifa
Habari za UN
Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Search the United Nations

Tafuta Zaidi
  • Mwanzo
    • Afrika
    • Amerika
    • Asia Pasifiki
    • Mashariki ya Kati
    • Ulaya
  • Mada
    • Amani na Usalama
    • Ukuaji wa Kiuchumi
    • Msaada wa Kibinadamu
    • Tabianchi na mazingira
    • Haki za bindamu
    • Masuala ya UM
    • Wanawake
    • Sheria na Kuzuia Uhalifu
    • Afya
    • Utamaduni na Elimu
    • SDGs
    • Wahamiaji na Wakimbizi
  • Kwa kina
    • Habari kwa Picha
    • Mahojiano
    • Makala
    • Neno La Wiki
    • Makala Maalum
    • Videos
    • Siku za UN
  • Katibu Mkuu
    • Msemaji wa Katibu Mkuu
    • Taarifa zote
    • Hotuba muhimu
    • Mikutano na wanahabari
    • Safari za kikazi
  • Vyombo vya Habari
    • Video za Umoja wa Mataifa
    • Picha za Umoja wa Mataifa
    • Matukio ya Mikutanoni
    • Usajili kwa wanahabari
    • Webtv
  • Mwanzo
    • Afrika
    • Amerika
    • Asia Pasifiki
    • Mashariki ya Kati
    • Ulaya
  • Mada
    • Amani na Usalama
    • Ukuaji wa Kiuchumi
    • Msaada wa Kibinadamu
    • Tabianchi na mazingira
    • Haki za bindamu
    • Masuala ya UM
    • Wanawake
    • Sheria na Kuzuia Uhalifu
    • Afya
    • Utamaduni na Elimu
    • SDGs
    • Wahamiaji na Wakimbizi
  • Kwa kina
    • Habari kwa Picha
    • Mahojiano
    • Makala
    • Neno La Wiki
    • Makala Maalum
    • Videos
    • Siku za UN
  • Katibu Mkuu
    • Msemaji wa Katibu Mkuu
    • Taarifa zote
    • Hotuba muhimu
    • Mikutano na wanahabari
    • Safari za kikazi
  • Vyombo vya Habari
    • Video za Umoja wa Mataifa
    • Picha za Umoja wa Mataifa
    • Matukio ya Mikutanoni
    • Usajili kwa wanahabari
    • Webtv
 

Sajili

Kabrasha la Sauti

Mwakilishi maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia, UNSOM, Bwana James Swan, ametembelea jimbo la Galmudug.
UN Photo/Omar Abdisalan
Mwakilishi maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia, UNSOM, Bwana James Swan, ametembelea jimbo la Galmudug.

Viongozi wa Somalia wahimizwa kuandaa uchaguzi mkuu

26 Mei 2021
Amani na Usalama

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limefanya mkutano wa wazi kuhusu hali nchini Somalia.

Taarifa ya msemaji wa Umoja wa Mataifa Stephane Dujarric iliyotolewa mjini New York Marekani inasema, mwakilishi Maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia, James Swan, ameeleza kuwa shughuli za kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu zimekumbwa na changamoto kadhaa katika miezi ya hivi karibuni.

Dujarric amewaeleza waandishi wa habari kuwa "Swan ametoa wito kwa viongozi wa Somalia kutafuta suluhu kwa nia njema na kuonesha aina ya uongozi nchi hiyo inayo uhitaji katika wakati huu wa kihistoria na kusisitiza makubaliano yaliyotiliwa saini Septemba 17 nilazima yafuatwe na viongozi wajikite kwenye kuandaa uchaguzi wa uwazi."

  
Swan amenukuliwa akisema hali ya usalama nchini Somalia inaendelea kuwa ya wasiwasi mkubwa, huku akisisitiza wanamgambo wa Al-Shabaab wanasalia kuhatarisha amani kwa kiasi kikubwa, na wenye uwezo wa kupanga na kutekeleza mashambulizi wakiilenga Somalia

Hali ya kibinadamu ni mbaya nchini humo ambapo, wasomali Milioni 5.9 ambao ni sawa na theluthi moja ya watu wote wa taifa hilo wana uhitaji wa misaada ya kibinadamu mwaka huu.

 

♦ Kupata takwimu za waathirika vitani Ukraine bofya  hapa.
♦ Iwapo ungependa kupokea taarifa kutoka UN News Kiswahili kila wakati zinapochapishwa jisajili  hapa.
♦ Pia unaweza kupakua apu ili kusikiliza matangazo yetu wakati wowote popote ulipo.
♦ Tembelea pia chaneli yetu ya Youtube na pia Soundcloud na Twitter
Al Shabaab|uchaguzi|Baraza la usalama la umoja wa mataifa

Taarifa Zihusianazo

Mwakilishi maalumu wa UM nchini Somalia na Mkuu wa mpango wa Umoja wa Mataifa nchini humo UNSOM Michael Keating. Picha na UN

Changamoto Somalia ni kuwa na taasisi zitakazokidhi wote:Keating

Somalia inaendelea kukumbwa na majanga sugu ya kibinadamu, huku mizunguko ya mara kwa mara ya mafuriko na ukame, ikichangiwa mwaka 2020 na nzige wa jangwani na COVID-19.

Kutofanyika uchaguzi kunachelewesha maendeleo nchini Somalia: UN

Mojawapo ya picha kutoka maktaba ikionesha shambulio la kigaidi kwenye hoteli ya Benadir huko Mogadishu Somalia tarehe 25 Agosti mwaka 2016.

Mwakilishi wa UN alaani vikali shambulio la kigaidi Mogadishu

Maktaba

  • Taarifa kwa watangazaji
  • Viunganishi vya Umoja wa Mataifa
  • Angalizo
  • UN Journal
  • Taarifa za Habari
  • Mikutano
  • Maktaba ya Picha na Video
  • Wasiliana nasi

Katibu Mkuu

  • Taarifa zote
  • Safari za kiofisi
  • Kona ya wanahabari
  • Kutoka Twitter ya Katibu Mkuu

Msemaji wa UN

  • Nyaraka zote
  • Muhtasari wa mkutano na wanahabari
  • Maandishi ya mkutano na wanahabari
  • Taarifa kwa wanahabari

Tupate

  • Facebook
  • Twitter
  • YouTube
  • RSS
  • Mawasiliano
  • Rambaza
  • Washirika wetu kwa sasa
Umoja wa Mataifa
Changia
  • Facebook
  • Twitter
  • YouTube
  • Soundcloud
  • Podcast
  • UN Social Media
  • A-Z Site Index
  • Hakimiliki
  • Maswali ya mara kwa Mara
  • Fraud Alert
  • Privacy Notice
  • Kanuni za matumizi
  • Facebook
  • Twitter
  • YouTube
  • SoundCloud
  • Podcast
  • More Socials