Neno la Wiki- Afkani
Hii leo katika NENO LA WIKI, Mwenyekiti wa idara za Kiswahili katika vyuo vikuu Afrika Mashariki Aida Mutenyo anatufafanulia maana ya neno Afkani.
Hii leo katika NENO LA WIKI, Mwenyekiti wa idara za Kiswahili katika vyuo vikuu Afrika Mashariki Aida Mutenyo anatufafanulia maana ya neno Afkani.
Na sasa ni neno la wiki ambapo Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi kutoka Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anachambua maana ya neno Kafala . Bwana Sigalla anafafanua maana mbili za neno hilo na akisisitiza kwamba ni tofauti na Kafara.
Katika Neno la Wiki hii leo tunachambua methali isemayo, "Ukikaa na Simba, vaa ngozi ya mamba." Mchambuzi wetu ni Ken Walibora, mwanariwaya na na mwanachama wa Chama Cha Kiswahili cha Kitaifa nchini Kenya, CHAKITA. Fuatana naye mlumbi huyu wa lugha ya Kiswahili.
Katika neno la wiki hii leo tunabisha hodi, Baraza la Kiswahili Zanzibar, BAKIZA ambako mchambuzi wetu Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza hilo anafafanua maana ya maneno MTARO na MCHIRIZI.
Katika neno la wiki hii leo mchambuzi wetu Aida Mutenyo kutoka Uganda anachambua majina mbalimbaliya Kuku. Kuna Tembe, Mtetea, Koo, Kiweto na Kipora. Je wafahamu tofauti zake? Ungana na Bi. Mutenyo ambaye ni Mwenyekiti wa Idara za Kiswahili za Vyuo Vikuu vya Afrika Mashariki.
Na sasa ni muda wa kujifunza Kiswahili na leo mchambuzi wetu kutoka Baraza la Kiswahili Tanzania , BAKITA ni Onni Sigalla Mhariri mwandamizi anafafanua maana ya neno "NASIHA"
Na sasa ni neno la wiki ambapo Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi kutoka Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anachambua maana ya neno Komangu. Je neno hili lina maana gani, ungana naye kwa undani zaidi.
Katika Neno la wiki hii Mchambuzi wetu ni mwanariwaya na mwanachama wa Chama Cha Kiswahili cha Kitaifa nchini Kenya, CHAKITA Ken Walibora ameangazia methali isemayo
"ukienda kwa mwenye chongo nawe fumba lako jicho"
Na sasa ni neno la wiki ambapo Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi kutoka Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anachambua maana ya maneno Chaudele na Chudele
Mtaalam wetu wa kiswahili juma hili ni Mwanahija Ali Juma katibu mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar , BAKIZA anafafanua maana ya maneno “BOMBA NA MFEREJI”
Kwa mujibu wa Mwanahija, maneno haya hayana utofauti lakini mazingia waliopo watu ndio aynaleta utaofauri wa matumizi.