Neno la Wiki- Bomba Mfereji
Pakua
Mtaalam wetu wa kiswahili juma hili ni Mwanahija Ali Juma katibu mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar , BAKIZA anafafanua maana ya maneno “BOMBA NA MFEREJI”
Kwa mujibu wa Mwanahija, maneno haya hayana utofauti lakini mazingia waliopo watu ndio aynaleta utaofauri wa matumizi.
Audio Credit
Mwanahija Ali Juma
Audio Duration
1'3"