Neno la Wiki- majina ya wanadamu wanaposafirisha mizigo
Hii leo katika NENO LA WIKI, Mwenyekiti wa idara za Kiswahili katika vyuo vikuu Afrika Mashariki Aida Mutenyo anatufafanulia majina mbalimbali ya wanadamu wanaposafirisha mizigo kwa kutembea.
Hii leo katika NENO LA WIKI, Mwenyekiti wa idara za Kiswahili katika vyuo vikuu Afrika Mashariki Aida Mutenyo anatufafanulia majina mbalimbali ya wanadamu wanaposafirisha mizigo kwa kutembea.
Katika Neno la wiki hii Mchambuzi wetu ni mwanariwaya na mwanachama wa Chama Cha Kiswahili cha Kitaifa nchini Kenya, CHAKITA Ken Walibora ameangazia methali isemayo “Mtambua ndwele ndiye mganga”
Na katika neno la wiki juma hili ni Mwanahija Ali Juma katibu mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar , BAKIZA anafafanua maana na matumizi ya neno “HIDAYA” ambapo anasema neno hili lina zaidi ya maana moja.
Katika Neno la wiki hii Mchambuzi wetu ni mwanariwaya na mwanachama wa Chama Cha Kiswahili cha Kitaifa nchini Kenya, CHAKITA Ken Walibora ameangazia methali isemayo "Mtoto wa nyoka ni nyoka."
Hii leo katika NENO LA WIKI, Mwenyekiti wa idara za Kiswahili katika vyuo vikuu Afrika Mashariki Aida Mutenyo anatufafanulia methali za Kiswahili ambazo kwa mtazamo wake zinamkandamiza mwanamke katika jamii.
Mwanamke ni kama ardhi, yeyote anaweza kukaa.
Mwanamke ni bustani na mwanaume ni uzio
Mwanamke mpumbavu huvunja nyumba yake kwa mikono yake!
Mke hafikirii zaidi ya kitanda anacholala!
Maneno kwa mwanamke matendo kwa mwanaume!
Katika Neno la wiki hii Mchambuzi wetu ni mwanariwaya na mwanachama wa Chama Cha Kiswahili cha Kitaifa nchini Kenya, CHAKITA Ken Walibora ameangazia methali isemayo "mtaka unda haneni".
Leo katika Neno la Wiki tunabisha hodi Baraza la Kiswahili Zanzibar, BAKIZA ambako mchambuzi wetu, Bi. Mwanahija Ali Juma, ambaye ni Katibu mtendaji wa baraza hilo anafafanua maneno “Dau, Wadau na Washikadau" ambayo huleta utata mkubwa katika matumizi yake.
eo katika NENO LA WIKI Aida Mutenyo, Mwenyekiti wa idara za Kiswahili katika vyuo vikuu Afrika Mashariki anatufafanulia methali ya Kiswahili isemayo “Afugaye ng’ombe tume, mwenye maziwa la kujaza”
Wiki hii katika Neno la Wiki, mchambuzi wetu kutoka Baraza la Kiswahili Zanzibar nchini Tanzania , BAKIZA kwa Bi. Mwanahija Ali Juma , Katibu mtendaji wa BAKIZA akichambua maana ya neno “OPOA”. Anasema kuwa opoa ni lazima kitu kiwe kinatolewa kutoka kwenye maji! Fuatana naye.
Neno la wiki hii leo tunaangazia methali, mtoto akibebwa hutizama kichogo cha mamae. Mchambuzi wetu ni mwanariwaya na mwanachama wa Chama Cha Kiswahili cha Kitaifa nchini Kenya, CHAKITA Ken Walibora ambaye anasema mtoto hufuata tabia za mlezi au mzazi wake.