Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Neno la Wiki: Mchirizi na Mtaro

Neno la Wiki: Mchirizi na Mtaro

Pakua

Katika neno la wiki hii leo tunabisha hodi, Baraza la Kiswahili Zanzibar, BAKIZA ambako mchambuzi wetu  Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza hilo anafafanua maana ya maneno MTARO na MCHIRIZI.

 

Audio Credit
Arnold Kayanda/Mwanahija Ali Juma
Audio Duration
49"
Photo Credit
UN News Kiswahili