Neno la Wiki: Mchirizi na Mtaro
Pakua
Katika neno la wiki hii leo tunabisha hodi, Baraza la Kiswahili Zanzibar, BAKIZA ambako mchambuzi wetu Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza hilo anafafanua maana ya maneno MTARO na MCHIRIZI.
Audio Credit
Arnold Kayanda/Mwanahija Ali Juma
Audio Duration
49"