Neno la Wiki-
Pakua
Katika Neno la wiki hii Mchambuzi wetu ni mwanariwaya na mwanachama wa Chama Cha Kiswahili cha Kitaifa nchini Kenya, CHAKITA Ken Walibora ameangazia methali isemayo
"ukienda kwa mwenye chongo nawe fumba lako jicho"
Audio Credit
Ken Walibora
Audio Duration
47"