12 FEBRUARI 2024
Hii leo jaridani tunaangazia mkutano mkubwa wa Umoja wa Mataifa wa uhifadhi wa wanyamapori nchini Uzbekistan, na maradi wa maji safi na salama nchini Rwanda. Makala inatupeleka nchini Sudan Kusini na mashinani nchini Kenya, kulikoni?
09 FEBRUARI 2024
Katika Jarida la habari la Umoja wa Mataifa hii leo Anold Kayanda anakuletea
Kuelekea mwezi wa 5 wa mapigano Gaza, kuna nuru ya sitisho la mapigano
Vita huko Gaza kati ya Israel na wanamgambo wa kipalestina Hamas ikiingia mwezi wa tano hii leo Jumatano na kuwa imesababisha vifo va wapalestina 27,585 na takribani 70,000 wamejeruhiwa, Mkuu wa masuala ya misaada ya dharura kwenye Umoja wa Mataifa amekaribisha dalili za mapema za uwezekano wa sitisho la mapigano linaloweza kufanikisha kuachiliwa huru kwa mateka wote waliosalia.