Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Jarida la Habari

16 Machi 2020

Assumpta Massoi : Hujambo na Karibu kusikiliza Jarida kutoka Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa, kutoka hapa New York Marekani.

 

JINGLE (04”)     

 

ASSUMPTA: Ni umatano ya Machi kumi na sita mwaka 2020, mwenyeji wako studioni hii leo ni mimi ASSUMPTA MASSOI

 

1: VISA VIPYA VYA COVID-19 VYAFIKIA 10,982, TANZANIA NAYO IMO

 

Sauti
12'4"

13 Machi 2020

Nchini Kenya kufuatia kuthibitishwa kwa mgonjwa wa kwanza wa virusi vya Corona, COVID-19, shirika la afya ulimwenguni WHO nchini humo limesema linashirikiana na serikali katika hatua zote za kudhibiti kusambaa kwa virusi hivyo katika taifa hilo la Afrika Mashariki. Aibu ya kurejea nyumbani mikono mitupu inatuponza, wasema wahamiaji. Programu ya kuimarisha stadi yasaidia mkimbizi kutoka Colombia kufikia ndoto zake.

Sauti
9'40"

12 Machi 2020

FLORA: Hujambo na Karibu kusikiliza Jarida kutoka Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa, kutoka hapa New York Marekani.

JINGLE (04”)     

FLORA: Ni Alhamisi ya Machi 12 mwaka 2020, mwenyeji wako studioni hii leo ni mimi FLORA NDUCHA

1: Kimbunga Idai bado ni jinamizi kwa manusura wake

Sauti
12'5"

10 Machi 2020

Kuna ongezeko la ishara na madhara ya mabadiliko ya tabianchi katika anga, ardhi na baharini yasema ripoti ya WMO. Programu ya kupatia wakimbizi wa Syria fedha Uturuki yawa nguzo ya maisha yao. MINUSCA yawapatia wanawake wafungwa CAR mafunzo ya ujasiriamali. Makala tunabisha hodi mkoani Dodoma nchini Tanzania na mashinani tupo nchini Kenya. Karibu na mwenyeji wako ni Flora Nducha.

Sauti
10'26"

09 MACHI 2020

CSW64 ni fursa ya kuchagiza kasi ya kufikia usawa wa kijinsia, umesema Umoja wa Mataifa. Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, baadhi ya wanawake waliopona ugonjwa wa Ebola wametoa shukrani zao kwa mamlaka. Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF limesema idadi ya watoto waliovuka pori la Darien linalotenganisha Colombia na Amerika ya Kati mwaka 2019 imeongezeka zaidi ya mara saba. 

Sauti
12'30"

06 MACHI 2020

Katika Jarida letu leo la mada kwa kicha Grace Kaneiya anakuletea

Miaka 25 baada ya jukwaa la Beijing la kuchukua hatua kuhusu Haki za wanawake, Umoja wa Mataifa unasema wakati ni sasa na hakuna kinachohalalisha kutokuwepo kwa usawa wa kijinsia

-Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR limeona zaidi ya dola milioni 260 kwa ajili ya kuwasaidia wakimbizi wa DRC walioko nje na jamii zinazowahifadhi

Sauti
11'58"

05 MACHI 2020

GRACE: Hujambo na Karibu kusikiliza Jarida kutoka Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa, kutoka hapa New York Marekani.

 

JINGLE (04”)     

 

GRACE : Ni Alhamisi ya Machi nne mwaka 2020, mwenyeji wako studioni hii leo ni mimi GRACE KANEIYA

 

1: Elimu kwa wasichana haina maana iwapo jamii ina mtazamo hasi dhidi yao- Ripoti

Sauti
12'58"

04 MACHI 2020

Elimu kwa wasichana haina maana iwapo jamii ina mtazamo hasi dhidi yao imesema ripoti ya mashirika ya Umoja wa Mataifa. Virusi vya Corona vyasababisha kuahirishwa kwa mkutano wa 64 wa CSW. Tunafanya kila tuwezalo kuwasaidia waathirika wa vita Idlib imesema WFP.

Sauti
11'28"

03 MACHI 2020

Katika Jarida la Habari la Umoja wa Mataifa hii leo Anold Kayanda anakuletea 

-Umoja wa Mataifana washirika wake leo wamezindua ombi la pamoja la kuchangisha dola milioni 877 ili kushughulikia janga la wakimbizi wa Rohingya na jamii zinazowahifadhi nchini Bangladesh.

-Mlo shuleni umeelezwa kuwa ni kichocheo cha maendeleo na ukuaji uchumi  Barani Afrika na shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP.

Sauti
11'13"

02 MACHI 2020

Katika Jarida la Habari la Umoja wa Mataifa hii leo Grace Kaneiya anakuletea

-Tume ya Umoja wa Mataifa ya uchunguzi kuhusu machafuko nchini Syria imesema miaka karibu tisa tangu kuanza kwa vita hivyo sasa hali inakuwa janga kubwa la kibinadamu huku maelfu ya wanawake, watoto na wanaumme wakiendelea kubeba gharama

Sauti
11'38"