Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

13 Machi 2020

13 Machi 2020

Pakua

Nchini Kenya kufuatia kuthibitishwa kwa mgonjwa wa kwanza wa virusi vya Corona, COVID-19, shirika la afya ulimwenguni WHO nchini humo limesema linashirikiana na serikali katika hatua zote za kudhibiti kusambaa kwa virusi hivyo katika taifa hilo la Afrika Mashariki. Aibu ya kurejea nyumbani mikono mitupu inatuponza, wasema wahamiaji. Programu ya kuimarisha stadi yasaidia mkimbizi kutoka Colombia kufikia ndoto zake.

Audio Credit
Anold Kayanda
Audio Duration
9'40"