Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

04 MACHI 2020

04 MACHI 2020

Pakua

Elimu kwa wasichana haina maana iwapo jamii ina mtazamo hasi dhidi yao imesema ripoti ya mashirika ya Umoja wa Mataifa. Virusi vya Corona vyasababisha kuahirishwa kwa mkutano wa 64 wa CSW. Tunafanya kila tuwezalo kuwasaidia waathirika wa vita Idlib imesema WFP.

Audio Credit
Grace Kaneiya
Sauti
11'28"