Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

20 Mei 2022

20 Mei 2022

Pakua

FAO yasaidia wananchi wa Yemen kurejea kwenye ufugaji nyuki wa asili.

Mradi wa Sola wa UNICEF watatua changamoto za waathirika wa ukame Kori Ethiopia.

Makala imeangazia mmoja wa wafanyabiashara wadogo katika makao makuu ya Tanzania, Dodoma ambaye ni miongoni mwa wanaolamba shubiri ya athari za vita kati ya Urusi na Ukraine ambavyo vimesababisha athari ya kiuchumi duniani.

Mashinani ni Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres na wito wake wa kulindwa kwa wahamiaji kwa ajili ya kuhakikisha usalama wao.

Audio Credit
Leah Mushi
Audio Duration
11'40"