27 Mei 2022
Pakua
Jaridani Mei 27, 2022
-Azimio la kulinda waandishi wa habari litekelezwe
-Mashujaa watanzania wawili miongoni mwa waliotunukiwa medali ya Dag Hammarskjold
Makala tunaangazia majukumu mengine yanyotekelezwa na walinda amani hususan nchini DRC
Mashinani ni ujumbe wa Mkuu wa Operesheni za ulinzi wa amani, kwenye Umoja wa Mataifa, Jean-Pierre Lacroix. na wito wake kuelekea siku ya walinda amani wa Umoja wa Mataifa inayoadhimishwa kila Mei 29.
Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
11'37"