25 Mei 2022
Pakua
Jaridani Jumatano Mei 25, 2022 na Leah Mushi
-Umoja wa Mataifa utaendelea kusimama na Afrika asema Katibu Mkuu Antonio Guteress katika kuadhimisha siku ya Afrika.
-Mlinda amani wa Zimbabwe ashinda tuzo ya UN ya mtetezi bora mwanajeshi wa masuala ya jinsia 2021
-Katika makal tutasikia mengi kuhusu ulinzi wa amani nchini Mali kupitia ujumbe wa kuweka utulivu nchini humo, MINUSMA
Mashinani tunakutana na Luteni Ndeye Sanou DIEYE mlinda amani katika ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kuweka utulivu nchini Mali, MINUSMA
Audio Credit
Leah Mushi
Audio Duration
12'15"