Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

25 Mei 2022

25 Mei 2022

Pakua

Jaridani Jumatano Mei 25, 2022 na Leah Mushi

-Umoja wa Mataifa utaendelea kusimama na Afrika asema Katibu Mkuu Antonio Guteress katika kuadhimisha siku ya Afrika.

-Mlinda amani wa Zimbabwe ashinda tuzo ya UN ya  mtetezi bora mwanajeshi wa masuala ya jinsia 2021

-Katika makal tutasikia mengi kuhusu ulinzi wa amani nchini Mali kupitia ujumbe wa kuweka utulivu nchini humo, MINUSMA

Mashinani tunakutana na Luteni Ndeye Sanou DIEYE mlinda amani katika ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kuweka utulivu nchini Mali, MINUSMA 

Audio Credit
Leah Mushi
Audio Duration
12'15"