Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

18 Mei 2022

18 Mei 2022

Pakua

Jaridani Jumatano Mei 18, 2022 na Leah Mushi

-Joto laendelea kuongezeka duniani kwa mwaka wa 7 mfululizo: WMO

-Mkutano wa kirafiki wakutanisha walinda amani kutoka Tanzania na baadhi ya viongozi viongozi mashariki mwa DRC

-Katika makala tunaelekea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kuungana na Mwandishi wetu wa huko Byobe Malenga akiangazia matumizi ya mitandao ya kijamii miongoni mwa wakimbizi katika kambi ya Lusenda.

-mashinani  tutasikia kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani, WFP.

Audio Credit
Leah Mushi
Audio Duration
13'30"