16 juni 2021
Karibu usikilize Jarida hii leo ambapo Assumpta Massoi anakufahamisha kuhusu siku ya Umoja wa Mataifa ya Utumaji fedha na hali ilivyo, japo bado dunia inapambana na janga la Corona au COVID-19. Pia leo ni siku ya Mtoto wa Afrika, huko nchini Niger Benki ya Dunia inasema asilimia 99 ya watoto chini ya miaka 10 hawajui kusoma na kuandika.