Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

09 Juni 2021

09 Juni 2021

Pakua

Hii leo Leah Mushi anaanza na mashindano ya michezo Olimpiki yanayoanza mwezi ujao huko Tokyo Japan ambako wakimbizi watashikiri. Kisha anabisha hodi DRC jimboni Katanga Juu kukutana na watoto walionusuriwa kutoka uchimbaji madini. Safari yake itaendelea hadi Ethiopia kwa vijana wanaotekeleza  mradi kwa ufadhili wa IFAD. Mashinani ni nchini Iraq kauli ya mkimbizi aliyerejea nyumbani na kukuta hali si hali. Makala tunamulika ujauzito katika umri mdogo kutoka kwa John Kabambala. Karibu!

Audio Credit
Leah Mushi
Audio Duration
13'8"