21 Aprili 2021
Pakua
Uamuzi dhidi ya kesi ya Floyd ungalikuwa vinginevyo, ingalikuwa kituko dhidi ya haki- Kamishna Mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa Michelle Bachelet.
Hakuna dalili za kumalizika mzozo Tigray imeonya UNICEF.
Na chanjo dhidi ya coronavirus">COVID-19 imeniondoa hofu ya kuhudumia wazazi- Mkunga Uganda.
Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
12'50"