20 Aprili 2021
Pakua
Waliofurushwa ndani ya Msumbiji wanasaidiana, lakini msaada wa haraka utahitajika wakiongezeka-UNHCR
Watoto 275 wanajikuta Mexico kila siku wakisubiri kuingia Marekani:UNICEF
Pakistani yaanza kupatia wakimbizi wa Afghanistan kadi za kisasa za utambulisho
Na kwenye makala, wanawake katika sanaa wanakumbana na changamoto. Vijana wasiendekeze starehe – Mama Kayai, muigizaji nguli wa Kenya.
Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
14'13"