Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

20 Aprili 2021

20 Aprili 2021

Pakua

Waliofurushwa ndani ya Msumbiji wanasaidiana, lakini msaada wa haraka utahitajika wakiongezeka-UNHCR

Watoto 275 wanajikuta Mexico kila siku wakisubiri kuingia Marekani:UNICEF 

Pakistani yaanza kupatia wakimbizi wa Afghanistan kadi za kisasa za utambulisho 

Na kwenye makala, wanawake katika sanaa wanakumbana na changamoto. Vijana wasiendekeze starehe – Mama Kayai, muigizaji nguli wa Kenya. 

 

Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
14'13"