27 Aprili 2021
Pakua
Asante Rwanda kwa kukubali kunusuru wasaka hifadhi walio hatarini Libya, asema Kamishna Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR Filippo Grandi.
UNMISS yatoa mafunzo ya ujasiriamali na usimamizi wa biashara kwa vijana wa Sudan Kusini.
Na MINUSCA yasaidiana na serikali CAR kupunguza athari za kimazingira.
Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
11'52"