Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

27 Aprili 2021

27 Aprili 2021

Pakua

Asante Rwanda kwa kukubali kunusuru wasaka hifadhi walio hatarini Libya, asema  Kamishna Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR Filippo Grandi.

UNMISS yatoa mafunzo ya ujasiriamali na usimamizi wa biashara kwa vijana wa Sudan Kusini.

Na MINUSCA yasaidiana na serikali CAR kupunguza athari za kimazingira.

Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
11'52"