Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

22 Aprili 2021

22 Aprili 2021

Pakua

Ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya kusongesha wanawake na wasichana kwenye teknolojia za Habari na Mawasiliano au TEHAMA Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametaka hatua zaidi zichukuliwe ili kuondoa pengo la idadi ya wanawake na wasichana kwenye TEHAMA, 

Fahamu kuhusu Alaa, mkimbizi ambaye ni mfano wa nguvu katika hali ya changamoto za maisha. 

Na WHO yazindua mkakati kutokomeza malaria katika nchi 25 ifikapo 2025.

Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
12'56"