Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

23 Aprili 2021

23 Aprili 2021

Pakua

Kuelekea siku ya malaria duniani Aprili 25, Grace Kaneiya akiwa Nairobi, Kenya amezungumza na Dkt. Dan James Otieno kutoka Shirika la afya ulimwenguni, WHO nchini Kenya katika programu ya malaria inayofanya kazi kwa pamoja na wizara ya afya nchini humo. Kwanza anaanza kwa kuelezea Kenya ilipofika vita dhidi ya malaria.

Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
11'41"