Guterres: Ni wakati wa Gaza kufurika misaada ya kibinadamu
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amewaambia waandishi wa habari katika mpaka wa Rafah unaovuka kuingia Ukanda wa Gaza kwamba ni wakati wa kusitishwa kwa mapigano na kwa "dhamira ya kidhalimu ya Israel" kuruhusu uwasilishaji wa misaada bila vikwazo katika eneo la Palestina lililozingirwa alipokuwa akianza safari yake ya kila mwaka ya mshikamano wakati wa mwezi wa Ramadhani siku ya Jumamosi, ziaranatakayozuri nchi za Misri na Jordan.