Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres akihutubia wakati wa Ufunguzi wa Kikao cha 36 cha kawaida cha AU mjini Addis Ababa, Ethiopia.
UNECA/Daniel Getachew

Licha ya changamoto, Afrika ‘ipo tayari kwa maendeleo’ – Guterres

Ajenda 2063, Muongo wa kuhakikisha wanawake wanashirikishwa kifedha na kiuchumi, utajiri na wingi wa maliasili katika bara la afrika na faida kubwa zaidi ya kuwa na watu, ambao wanawakilisha utajiri wa utofauti mkubwa wa utamaduni na lugha. Yote haya yanaonesha namna ambavyo Afrika ipo tayari kwa ajili ya maendeleo na ina kila sababu ya kuyafikia lakini changamoto iliyopo ni kukosa uungwaji mkono kimataifa kwenye masuala mbalimbali na hivyo kujikuta ikikwama kufikia maendeo kamili.

Msaidizi wa Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa anayeshughulikia Suluhisho la Wakimbizi wa Ndani Robert Piper akizungumza na mkazi wa makazi ya Barwaqo IDP huko Baidoa, Somalia tarehe 13 Februari 2023.
UN Photo / Ali Bakka

Ziara yangu ya kwanza Somalia ni somo - Robert Piper

Robert Piper akiwaeleza kwa ufupi wawakilishi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na wadau wengine wa kimataifa kuhusu nia ya ziara yake anasema, “nimekuja kuwasikiliza Wakimbizi wa Ndani na kuelewa hali zao na kujifunza kutoka kwa familia ya Umoja wa Mataifa na wadau wetu kuhusu jinsi tunavyokuungeni mkono katika changamoto hii.”  

 

Sauti
3'35"