Tukiadhimisha siku ya Malaria, hebu tushikamane kuelekea ulimwengu usio na janga hilo:WHO
Katika kuadhimisha siku ya malaria duniani, hii leo afisa wa shirika la afya duniani WHO amesema kwamba licha ya janga la COVID-19, mwaka uliopita umeshuhudia "mafanikio muhimu katika kuzuia na kudhibiti malaria."