Guterres: Ushirikiano wa Kusini- Kusini unahitaji zaidi sasa kuliko awali
Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya ushirikiano wa kusini – kusini UNOSSC imefanya mkutano wake wa ngazi za juu kwa njia ya mtandao siku ya ijumaa (10 septemba 2021) ukilenga kukuza mshikamano "kuunga mkono mustakabali wa ujumuishi, wenye ujasiri na endelevu".