Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Rais Mteule wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Abdulla Shahid akiwa ndani ya  ukumbi wa Baraza hilo
UN/Eskinder Debebe

Licha ya magonjwa na uharibifu, Rais mteule wa Baraza Kuu asema matumaini ndio msingi wa ushindi

Mkutano wa 75 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, UNGA75 unafungwa rasmi hii leo na kutoa fursa ya kufunguliwa kwa mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, UNGA76 unafungua pazia lake hii leo huku rais wake mteule Abdulla Shahid kutoka Maldives akisema tumaini ndio limesalia kuwa tegemeo kwa mabilioni ya watu duniani wakati huu wakihaha katikati ya janga la COVID-19, uharibifu wa mazingira, vita na majanga mengineyo.

Sauti
3'15"