Chuki dhidi ya watu wenye asili ya Asia haistahili lazima ikomeshwe: UN
Ongezeko la chuki na uhalifu dhidi ya watu wenye asili ya Asia na visiwa vya Pasifiki nchini Marekani tangu kuzuka kwa janga la corona au COVID-19 limemhamasisha mmoja wa wasanii wa uchoraji hapa Marekani kuchora Sanaa mbalimbali zilizogonga vichwa vya Habari kote duniani