Nguvu ya ubinadamu inaweza kushinda COVID-19, changamoto za mabadiliko ya tabianchi: Shahid
Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa leo amefungua mjadala wa ngazi ya juu wa kila mwaka, ambao mwaka huu umefanyika kupitia mtandao na wajumbe wengine zaidi ya 100 kushiriki ana kwa ana ukumbini,