Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Tayari mche umeandaliwa kwa ajli ya kupanda miti kupitia mradi wa FAO wa kukabiliana na kuenea kwa jangwa
©FAO/Giulio Napolitano

Siku ya amani duniani, shule ya sekondari Viwandani, Dodoma Tanzania wapanda miti 

Nchini Tanzania katika kuadhimisha siku ya amani duniani, wadau mbalimbali kwa kushirikiana na ofisi ya Umoja Umoja wa Mataifa nchini humo, wameiadhimisha siku hii kwa kupanda miti katika shule ya sekondari Viwandani iliyoko mkoani Dodoma ikiwa ni sehemu ya kupambana na mabadiliko ya tabianchi ambayo yanachangia kuondoa amani katika baadhi ya maeneo duniani.

Sauti
2'38"
Kikundi cha wanawake mkoani Kigoma nchini Tanzania wakiwa kwenye mafunzo ya utengenezaji wa bidhaa mbalimbali za vyakula kwa kutumia viazi lishe.
FAO Tanzania

Mafunzo ya FAO kuhusu viazi lishe yaleta imani mpya ya lishe na kipato Kigoma 

Kuelekea mkutano wa ngazi ya juu wa viongozi wa nchi 193 wanachama wa Umoja wa Mataifa kuhusu mifumo ya chakula, huko mkoani Kigoma nchini Tanzania Umoja wa Mataifa umedhihirisha jinsi uboreshaji wa mbegu za mazao na mafunzo kwa wakulima juu ya kilimo bora na matumizi bora ya mazao vinaweza kuimarisha siyo tu lishe bali pia kuongeza kipato.