Ajabu wanawake 5 watwanga mtama kwa mlo mmoja, tubadilike- FAO
Katika kuadhimisha siku ya wanawake duniani hii leo, shirika la chakula na kilimo duniani, FAO limesema kuwekeza kwa wanawake na wasichana ni hatua mujarabu katika kutokomeza njaa ifikapo mwaka 2030.