Colombia inakabiliwa na janga kubwa:WFP
Colombia inakabiliwa na zahma kubwa wakati huu ambapo maelfu ya raia wa Venezuela wanaendelea kumiminika nchini humo kutokana na ukosefu wa chakula na mahitani mengine ya msingi nchini mwao.
Colombia inakabiliwa na zahma kubwa wakati huu ambapo maelfu ya raia wa Venezuela wanaendelea kumiminika nchini humo kutokana na ukosefu wa chakula na mahitani mengine ya msingi nchini mwao.
Umoja wa Mataifa leo umezindua mkakati wake mpya wa kuimarisha mchango wa takribani vijana bilioni 2 duniani kwa lengo kukuza amani, uadilifu pamoja na kuwa na dunia endelevu.
Robotatu ya watu wa Yemen wanahitaji aina fulani ya msaada ili kuweza kusihi wakati mgogoro wa nchi hiyo ukiwa umeingia mwaka nne sasa.
Kuuchukulia uhamiaji kama ni tatizo si fikra nzuri , kwani unahamiaji una faida nyingi, kwa wahamiaji wenyewe lakini pia kwa jamii zinazowahifadhi, iwe katika masuala ya kiuchumi, utamaduni na hata maendeleo kwa mujibu wa Kamati ya Umoja wa Mataifa ya biashara na maendeleo UNCTAD
Umoja wa Mataifa leo umepitisha azimio la kumuenzi Nelson Mandela kutokana na mchango wake katika kusongesha utu, amani na haki za binadamu siyo tu nchini mwake bali duniani kote kwa ujumla. Taarifa zaidi na Grace Kaneiya.
Kawaida ni rais wa Brazil ndiye hufungua vikao vya ngazi za juu katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa. Lakini ni kwa nini? Utaratibu huu ulianza katika kikao cha mwanzo kabisa kilichofanyika mjini London, Uingereza Januari 10 mwaka 1946. Tangu wakati huo Brazil imekuwa kila mara inakuwa ya kwanza katika ratiba za viongozi kuhutubia mjadala wa wazi wa Baraza hilo unaofanyika kila mwezi Septemba.
Mwanadiplomasia nguli ambaye amewahi kufanya kazi na hayati Mzee Nelson Mandela azungumzia upekee aliokuwa nao mwendazake huyo ambaye leo anaenziwa na UN
Leo katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York Marekani, nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa wanapitisha azimio la kumuenzi aliyekuwa Rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini, Hayati Nelson Mandela.
Bila kumaliza njaa hatuwezi kwenda popote na kuridhika na maendeleo yetu kuhusu ajenda ya 2030 ya maendeleo endelevu.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ana wasiwasi kutokana na ongezeko la visa vya ukiukwaji wa mapatano ya kusitishwa mapigano yaliyofikiwa tarehe 4 mwezi huu wa Septemba chini ya usimamizi wa mwakilishi wake maalum nchini humo Ghassan Salame.