Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Mhudumu wa afya akiwa katika hospitali ya Bikoro nchini DRC
UNICEF/Naftalin

UNICEF yachagiza mamia ya wahudumu kupambana na Ebola DRC

Katika hamasa ya kupambana na mlipuko wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, leo shirika la kuhudumia watoto la Umoja wa Mataifa UNICEF, kwa ushirikiano na serikali na wadau, wanachagiza mamia ya wahudumu wa masuala ya kijamii kujiunga katika vita dhidi ya Ebola. 

Utipwatipwa na uvutaji sigara vina uhusiano

Utafiti mpya umebaini kuwa watu ambao kwao unene au utipwatipwa ni asili au jambo la kurithi kwenye familia zao wako hatarini zaidi kuwa wavutaji sigara, na wanaweza kuvuta sigara kwa kiwango kikubwa zaidi.  Grace Kaneiya na ripoti kamili.

Sauti
1'35"