UNICEF yachagiza mamia ya wahudumu kupambana na Ebola DRC
Katika hamasa ya kupambana na mlipuko wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, leo shirika la kuhudumia watoto la Umoja wa Mataifa UNICEF, kwa ushirikiano na serikali na wadau, wanachagiza mamia ya wahudumu wa masuala ya kijamii kujiunga katika vita dhidi ya Ebola.